iqna

IQNA

Uislamu na Vyombo vya Habari
IQNA - Mkuu wa Shirika la Qur'ani la Wanataaluma wa Iran amefafanua misingi mitano ya Qur'ani kwa ajili ya mawasiliano bora ya ujumbe.
Habari ID: 3479765    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17

Watetezi wa Palestina
IQNA - Kongamano lililopewa jina la "Muqawama (Mapambano) na Vyombo vya Habari vya Wapalestina" limefanyika katika Taasisi ya Ittila'at mjini Tehran ambapo wazungumzaji walisisitiza nafasi ya vyombo vya habari katika kuangazia jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3478806    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/12

TEHRAN (IQNA)- Vyombo vya habari vya ulimwengu wa Kiislamu vinapaswa kuimarisha jitiahda zaidi kustawisha umoja wa Kiislamu, amesema msomi wa Iraq.
Habari ID: 3474461    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa vita vya vyombo vya habari vya maadui vimevizidi nguvu na kasi vita vya kiuchumi na kwamba hata maadui wa mapinduzi wananufaika na vita hivyo vya vyombo vya habari katika vita vyao vya kiuchumi dhidi ya mataifa mengine.
Habari ID: 3474416    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/12

Kwa mwaka wa pili mfululizo
Maonyesho ya 22 ya Kimataifa ya Vyombo vya Habari Iran yamefungwa huku kibanda cha IQNA kikitangazwa kuwa kibanda bora zaidi katika masuala ya kidini.
Habari ID: 3470669    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/11